Skip to main content

Posts

HUAWEI - Y530

JIPATIE HUAWEI SMARTPHONE YA TIGO NA UJIPATIE INTERNAT YENYE SPIDI ZAID....                 FIKA TIGO SHOP LOLOTE LILE LILILOKARIBU NAWE.                                         SMILE YOUR WITH TIGO

SH 300 BUREEE

        YEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEAAAAA....             Ni TIGO Sasa  Inakupa Sh 300 BUREEEE Asubuhi, Zakupiga Simu, Kuperuzi na Internant, Na Kutuma SMS...Ni Asubuhi Kwanzia Saa 12:00 Hadi Saa 3:00 Asubuhi  BUUUUURE Kabisaaaaaa   UNASUBIRI NINI....                            PIGA *148*00# OK, Kisha chagua OFA MAALUM, Kisha Chagua Sh 300 BURE ASUBUHI.... SMIL YOUR WIYH TIGO
              

OFA YA INTERNET

OFA..! OFA..! OFA!   Kujiunga ( BURE ), Bonyeza *148*00# Kisha chagua OFA MAALUM Kisha chagua INTERNET BURE,Bonyeza 1: Tayari kwa kujiunga                                SMILE YOU WITH TIGO

TIGO GAWIO

 TIGO NI KAMPUNI YA KWANZA DUNIANI KUGAWA FAIDA KWA WATEJA WAKE. Gawio ni huduma ya tigo inayompatia mteja wetu faida ya matumizi yake ya tigo pesa kwa kila miezi mi tatu.      Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo kuhusu kutoa gawio la kiasi cha shilingi bilioni 14.25 lililolimbikizwa kwenye akaunti ya mfuko wa fedha wa Tigo Pesa kwa ajili ya wateja wao. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na Meneja Masoko na Usambazaji wa Tigo Pesa Catherine Rutenge (kulia).     Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson akijibu maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu gawio la shilingi bilioni 14.25 litakalo anza kutolewa kwa wateja wa kampuni hiyo. Gawio hili litawanufaisha jumla ya watumiaji milioni 3.5 wa Tigo Pesa nchini. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez. Tigo Tanzania leo imetangaza itatoa gawio la kiasi cha s...