->>MODEM Ni kifaa kinachoweza kukupa Internet kwenye comyuta au laptop yako.
Modemu inaunganisha kompyuta yako kwenda kwenye internet kupitia watoa HUDUMA ya Internet.
KUUNGANISHA MODEMU YA TIGO KWENYE KOMPYUTA
->> Ingiza modemu kwenye kompyuta yako sehemu ya USB.Halafu Fuata Maelekezo.
KUUZA MODEMU ( KWA WAFANYAKAZI WA TIGO TU )
->>Ili uweze kuuza modemu kuna mabo amboyo inatakiwa kuyajua mambo hayo ni:-
- hivyo Mteja hatoweza kutumia modemu yaake
Modemu inaunganisha kompyuta yako kwenda kwenye internet kupitia watoa HUDUMA ya Internet.
KUUNGANISHA MODEMU YA TIGO KWENYE KOMPYUTA
->> Ingiza modemu kwenye kompyuta yako sehemu ya USB.Halafu Fuata Maelekezo.
KUUZA MODEMU ( KWA WAFANYAKAZI WA TIGO TU )
->>Ili uweze kuuza modemu kuna mabo amboyo inatakiwa kuyajua mambo hayo ni:-
- Kujua bei ya modemu
- Spidi ya modemu (mwendo kasi)...Speed ya modem ya Tigo ni 14.4 MBPS lakini kunabaadhi ya ambayo ni 7.1 MBPS
- Kujua maeneo yanayopatikana 3G... Kama kuna maeneo Anbayo Hakuna 3G modem haitafanya kazi ipasavyo.
- hivyo Mteja hatoweza kutumia modemu yaake
Comments
Post a Comment