Tigo pesa
Tigo pesa menu *150*01#
>>Tigo pesa ni huduma inayo kuwezesha mteja Kutuma Pesa, Kuutoa Pesa, Kununua Muda Wa Maongezi N:K.
-Tigo pesa ni huduma inayowezeshwa bure kwa kila mteja mpya wa tigo
-Ndugu mteja akaunti yako ya tigo pesa itahitaji tarakimu nne za namba ili kuwekewa namba ya siri katikaa tigo pesa akaunti yako ya siri
-Ndugu mteja namba yako ya siri ya tigo pesa huta takiwa kuisahau kwasababu hautaweza kufanya muamala wowote wa tigo pesa.
-Ndugu mteja namba yako ya siri hita takiwa kufanana, (3333) au kufuatana katika mfumo wa namba, mfano (1234) au (4321), pia namba yako ya siri haitatakiwa kufananana na mwaka wako wa kuzaliwa
-Ndugu mteja yakupasa kuijua namba yako ya siri na haitakuwa vzuri kumwambia mtu mwengine.
>>TIGO PESA MENU
-Mteja utaweza kumtumia mteja yeyote mwengine wa tigo wakati wowote masaa 24 kupitia simuyako
-Mteja lazima uhakikishe jina la mteja unaemtumia kabla ya kuhakikisha ili kulinda pesa yako
-Ndugu m,teja ukikosea kutuma pesa piga simu haraka huduma kwa wateja namba 100 ili kusidiwa kwa haraka iwezekanavyo.
-Kumbuka kiasi cha kwanza kueka pesa katika akaunti yako ya tigo pesa ni Tsh 1000
->>Nuua muda wa maongezi na Vifurushi
Tigo pesa menu *150*01#
>>Tigo pesa ni huduma inayo kuwezesha mteja Kutuma Pesa, Kuutoa Pesa, Kununua Muda Wa Maongezi N:K.
-Tigo pesa ni huduma inayowezeshwa bure kwa kila mteja mpya wa tigo
-Ndugu mteja akaunti yako ya tigo pesa itahitaji tarakimu nne za namba ili kuwekewa namba ya siri katikaa tigo pesa akaunti yako ya siri
-Ndugu mteja namba yako ya siri ya tigo pesa huta takiwa kuisahau kwasababu hautaweza kufanya muamala wowote wa tigo pesa.
-Ndugu mteja namba yako ya siri hita takiwa kufanana, (3333) au kufuatana katika mfumo wa namba, mfano (1234) au (4321), pia namba yako ya siri haitatakiwa kufananana na mwaka wako wa kuzaliwa
-Ndugu mteja yakupasa kuijua namba yako ya siri na haitakuwa vzuri kumwambia mtu mwengine.
>>TIGO PESA MENU
- Tuma pesa
- Nunua muda wa maongezi na vifurushi
- Toa pesa
- Lipia bili
- Akaunti yangu na salio Nunua kabang 999
-Mteja utaweza kumtumia mteja yeyote mwengine wa tigo wakati wowote masaa 24 kupitia simuyako
-Mteja lazima uhakikishe jina la mteja unaemtumia kabla ya kuhakikisha ili kulinda pesa yako
-Ndugu m,teja ukikosea kutuma pesa piga simu haraka huduma kwa wateja namba 100 ili kusidiwa kwa haraka iwezekanavyo.
-Kumbuka kiasi cha kwanza kueka pesa katika akaunti yako ya tigo pesa ni Tsh 1000
->>Nuua muda wa maongezi na Vifurushi
-Ndugu mteja unaweza kunua muda wa maongezi kutoka katika
Akaunti yako ya tigopesa masaa 24 ukiwa nasalio katika akaunti yako ya tigo
pesa.
-mteja pia unaweza kununua vifurushi moja kwa moja muda
wowote
->>Toa pesa
-Mteja unaweza kutoa pesa wakati n wowote ukiwa na tigo pesa
akati,wakala wetu atakupa namba yake na ukaweza kutoa masaa 24, na kutokana na
viwango vya makato utakatwa kiasi kidodo
->>Lipia Bili
-Ndugu mteja unaweza kulipia bili zako kupitia simu yako
wakarti wowote kjwa masaa 24,kulipia kama vile LUKU nk:
->>Akauti yangu na salio
-Mteja utaweza kuuliza salio la akaunti yako kupitia simu
yako wakati wowote masaa 24 na utakatwa Tsh 50 kwqa kila utakapo uliza
-pia utaweza kubadilisha namba ya siri wakati wowote,na
unashauriwa kufanya hivi mara kwa mara ili kulinda pesa zako
->>Nunua kabang 999
-nunua kabang 999
-Huduma hii inakupa Dakika 20 za kupiga mitandao yote,sms 1000 na MB 8 Za masaa 24 kwa Tsh
999 tu
v
Comments
Post a Comment