Skip to main content

TIGO HAND SET CONFIGURATION - KUUNGANISHA INTERNANT KWENYE SIMU

Kuunganisha internet kwenye sim inategemea na simu yenyewe,ni aina gani na mfumo wake ni upi?
->>kina aina nyingi za simu lakini baadhi unaweza kuzigawa katika makundi ma nne (4)

1. SMART PHONE
2. BLACK BERRY
3. IPHONE ( IPOD )
4. NORMAL



              1. ANDROID
Simu za android unaweza kuziweka katika makundi mawili kutegemea na SETTING ZAKE
  1. -Tofauti ya hizi ni maneno WIRELESS and NETWORK na MORE NETWORK.
>>JINSI YA KUSETI ANDROID (Njia ya kwanza )
  1. Bonyeza MENU
  2. Nenda kwenye SETTING
  3. Kisha ingia WIRELESS AND NETWORK 
  4. Kisha ingia MOBILE NETWORK
  5. Nenda  ACCESS POINT NAME ( APN )
  6. Nenda ADD NEW
  •    Name andika TIGOWEB
  • APN andika  TIGOWEB
  • Authentication type weka  CHAP
  • SAVE



NJI YA PILI

  • Bonyeza MENU
  • Nenda kwenye SETTING
  • Kisha ingia kwenye MORE SETTING
  • Halafu nenda (MOBILE NETWORKS 
  • Nenda ACCESS POINT NAME (APN)
  • Nenda kwenye ADD  
  1. Name andika ( TIGOWEB )
  2. APN Andika ( tigoweb )
  3. Authentication type andika ( chap )
  4. Save


                        2. I PHONE

JINSI YA KUUNGANISHA IPHONE

  1. Bonyeza MENU
  2. Nenda kwenye SETTING
  3. Ingia GENERAL
  4. Nenda NETWORK
  5. Nend ENABLE 3G Weka ON
  6. Nenda CELLULAR DATA weka ON
  7. Nenda DATA ROAMING weka ON









  3. NORMAL
->> katika kundi hili kuna aina tofauti za simu ambazo unaweza kuziweka kwenye kundi hili.mfano:-
       NOKIA,Baadhi ya TECNO Na Baadhi ya SAMSUNG

        1. NOKIA 6210 / 6230 / 6270

                          



  1. Bonyeza MWNU
  2. Ingia SETTING
  3. Nenda CONFIGURATION
  4. Nenda PERSONAL CONFIGURATION
  5. Nenda OPTOIN na nenda ADD NEW
  6. Chagua ACCESS POINT 
  • Account name weka TIGOWEB
  • Data bearer chagua PACKET DATA 
      7. Home page http:// www.tigo.co.tz 
      8. Use preferred Acces point: NO
      9. Data bearer: PACKET DATA
  •        Chagua BEARER SETTING
  • Packet data access point: G[PRS
  • Authentication type: NORMAL
   10. Rudi kwenye USSER PREFERED ACCESS POIT na Bonyeza YES. Halafu rudi kwenye  TIGO WEB

    2. TECNO T340, T341' T342

              
         


  1. Bonyeza MENU
  2. Nenda kwenye SETTING
  3. Nenda Kwenye CONNECTIVITY
  4. Ingiza sim data connection chagua SIM 1 au SIM 2
  5. Ingiza data accounts chagua SIM 1 au SIM 2,Kutegemea na laini yako ya tigo ulipo iweka
  6. APN AUTHENTICALLY imeshatiwa kwa wewe kazi yako ni kusevu.

Comments

Popular posts from this blog

TIGO GAWIO

 TIGO NI KAMPUNI YA KWANZA DUNIANI KUGAWA FAIDA KWA WATEJA WAKE. Gawio ni huduma ya tigo inayompatia mteja wetu faida ya matumizi yake ya tigo pesa kwa kila miezi mi tatu.      Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo kuhusu kutoa gawio la kiasi cha shilingi bilioni 14.25 lililolimbikizwa kwenye akaunti ya mfuko wa fedha wa Tigo Pesa kwa ajili ya wateja wao. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na Meneja Masoko na Usambazaji wa Tigo Pesa Catherine Rutenge (kulia).     Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson akijibu maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu gawio la shilingi bilioni 14.25 litakalo anza kutolewa kwa wateja wa kampuni hiyo. Gawio hili litawanufaisha jumla ya watumiaji milioni 3.5 wa Tigo Pesa nchini. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez. Tigo Tanzania leo imetangaza itatoa gawio la kiasi cha s...

TIGO SHOP / NAMBA YA MAAJABU / NAMBA YA VIFURUSHI

ULIPO TUPO TIGO SHOP / NAMBA YA MAAJABU / NAMBA YA KUJIUNGA VIFURUSHI   TIGO SHOP / NAMBA YA MAAJABU / NAMBA YA KUJIUNGA  >>Tigo shop Menu *148*00#    -Ni namba ambayo inakupa mteja vifurushi mbalimbali vya kutuma SMS ,INTERNET, Pamoja na sms. ->itakupa vifurushi vifuatavyo ->>OFA Maalum (kifureshi namba moja) -Internet BURE     ,Kifurushi hiki kitakupa bure MB 100 Bilakikomo cha spidi kutumia kati ya saa 12 ASUBUHI mpaka   saa   2 ASUBUHI: BILA KULIPIA -MIA MIA Bilakikomo     Ndugu mteja utaongea bila kikomo TIGO -TIGO Na utalipia sh 100 kwa kila simu uipigayo,KUJIUNGA NI BURE -USIKU Bilakikomo (GB 30 ) =Sh 1,000   kifurushi hiki kinakupa GB 30 Bila kikomo cha spidi,mteja Utatumia kati ya saa 5 usiku Hadi sdaa 11 Asubuhi Na kitadumu kwa muda wa siku 2 MFULULIZO Kwa shilingi 1,000 tu.  - 999 sh = 900 min + 500 SMS      Ki...